RAIS DK MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI KAHAMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 28 November 2019

RAIS DK MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI KAHAMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kahama mkoani Shinyanga.


Wananchi wa Kahama wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika Wilaya hiyo wakati akitokea Mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment