NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA ZA USANGI NA UGWENO - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Sunday, 13 October 2019

demo-image

NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA ZA USANGI NA UGWENO

1+-+2019-10-13T202305.208
Muonekano wa jengo la wodi ya mama na mtoto katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi linalojengwa na Wakala wa Majengo nchini TBA.

2+-+2019-10-13T202323.355
Muonekano wa barabara ya Kikweni- Usangi Km 12.5 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

3+-+2019-10-13T202333.626
Mbunge wa Mwanga Profesa Jumanne Maghembe akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Mhe. Elius John Kwandikwa alipokagua barabara ya Kikweni- Usangi Km 12.5 na Kikweni-Ugweno km 17 ambazo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea wilayani Mwanga (kulia), ni meneja wa TANROADS mkoa wa Kilimanjaro Eng. Nkolante Ntije.

4+-+2019-10-13T202347.362
Mbunge wa Mwanga Profesa Jumanne Maghembe akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Mhe. Elius John Kwandikwa alipokagua barabara ya Kikweni- Usangi Km 12.5 na Kikweni-Ugweno km 17 ambazo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

5+%252892%2529
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Mhe. Elius John Kwandikwa akisisitiza uendeshaji makini na mahiri wa pikipiki za bodaboda kwa vijana wa Kata ya Kifula-Ugweno wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro kufuatia kuanza kukamilika kwa barabara za lami katika baadhi ya maeneo yenye milima na kona kali ili kuepuka ajali.

Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *