![]() |
| Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Julius Tweneshe akielezea mada kuhusu taratibu za kufungua kampuni wakati wa mafunzo hayo. |
![]() |
| Sehemu ya wajasirimali kutoka Mkoa wa Geita wakifuatilia mada iliyokuwa ikiwasilishwa wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita. |
![]() |
| Mmoja wa vijana kutoka Kiwanda cha Chaki cha Rubondo akielezea jambo kuhusu changamoto wanazokabiliana nazo katika upatikanaji wa masoko. |
| Baadhi ya Wajasiriamali walioshiriki kwenye mafunzo hayo wakijadiliana kazi kwenye vikundi. |






No comments:
Post a Comment