Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Dkt. Augustine
Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Yahya Simba
kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Kamishna Benedict
Michael Wakulyamba mara baada ya hafla ya uapisho kukamilika Ikulu jijini Dar
es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment