Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati ya Ushindi wa Kiti cha Urais kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele mara baada ya kutangazwa mshindi wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, hafla hiyo ya kukabidhiwa Cheti imefanyika katika Makao Makuu ya Tume Njedengwa jijini Dodoma tarehe 01 Novemba 2025. (Picha na INEC).
SOKO LA KARIAKOO MBIONI KUFUNGULIWA
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limekutana na kufanya mazungumzo na viongozi
wa makundi mbalimbali ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kwa lengo la
kuwasi...
Michezo : New King Imeichapa Malindi Bao 2-1
-
Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu
ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo
uliyo...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
No comments:
Post a Comment