Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Nungwi katika muendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho Zanzibar tarehe 18 Septemba 2025.
RAIS SAMIA ANAYAJALI MAKUNDI MAALUM, AMEONGEZA MIKOPO KUTOKA ASILIMIA 10
HADI 15 - CHATANDA
-
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
Wanawake, vijana na wenye mahitaji maalum sasa wamefikiwa na bajeti ya
mwaka wa fedha 2026/2027, kufuatia bajeti hiyo kuongeza ...
46 minutes ago

No comments:
Post a Comment