RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI HAFLA YA UFUNGUZI WA KANISA LA ARISE AND SHINE - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday, 5 July 2025

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI HAFLA YA UFUNGUZI WA KANISA LA ARISE AND SHINE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika hafla ya Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya   Kufungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya   Kufungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.

Matukio mbalimbali yaliyojiri wakati wa Hafla ya Ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe Jijini Dar es salaam.



Matukio mbalimbali yaliyojiri wakati wa Hafla ya Ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe Jijini Dar es salaam.Muonekano wa kanisa hilo.


 

No comments:

Post a Comment