Kikundi cha Kwata ya kimya kimya kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikionesha umahiri wa kupiga kwata hiyo wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.
CHONGOLO AITAKA COOP BANK KUHAKIKISHA INALINDA MIFUMO YA KIFEDHA KUEPUKA
HASARA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
Waziri wa Kilimo Daniel Chongolo amesisitiza Uongozi wa Benki ya Ushirika
juu ya ulinzi wa mifumo hasa ya kifedha kwan...
42 minutes ago













No comments:
Post a Comment