Kikundi cha Kwata ya kimya kimya kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikionesha umahiri wa kupiga kwata hiyo wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.
KIPANGULA ASISITIZA WELEDI WA UANDISHI WA HABARI SABASABA
-
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea
kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) kuto...
22 minutes ago













No comments:
Post a Comment