Kikundi cha Kwata ya kimya kimya kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikionesha umahiri wa kupiga kwata hiyo wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.
Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango
Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2...
4 hours ago













No comments:
Post a Comment