Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), tarehe 26 Mei 2025, jijini Dodoma.
Kikao kikiendelea
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa kwenye kikao hicho.
Kikao kikiendelea.
Siku ya Familia Duniani: Wito wa Kudhibiti Ongezeko la Watu Kuokoa Uchumi
wa Taifa
-
KATIKA maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani, wito umetolewa kwa familia
za Tanzania kuzingatia uzazi wa mpango kama njia muhimu ya kujenga familia
i...
6 hours ago






No comments:
Post a Comment