Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), tarehe 26 Mei 2025, jijini Dodoma.
Kikao kikiendelea
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa kwenye kikao hicho.
Kikao kikiendelea.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
5 hours ago






No comments:
Post a Comment