WIZARA ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’.
Rais Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali
-
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika taasisi za umma. Kwa mujibu
wa ta...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment