WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday, 8 March 2025

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Baadhi ya watumishi wanawake wa Wizara ya Fedha, wakiwa katika maandamano wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, yaliyoadhimishwa kitaifa Jijini Arusha, yenye kaulimbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’.

Baadhi ya watumishi wanawake wa Wizara ya Fedha, wakiwa katika maandamano wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, yaliyoadhimishwa kitaifa Jijini Arusha, yenye kaulimbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bi. Janeth Hiza (kushoto), akitoa elimu ya fedha kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara, katika Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sheikh Amiri Abeid, jijini Arusha.

WIZARA ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’.

No comments:

Post a Comment