WIZARA ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’.
VIONGOZI WA VIJIJI WAONYWA KUJIHUSISHA NA UUZAJI WA ARDHI KIHOLELA
-
Munir Shemweta, Misungwi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo
amewatahadharisha viongozi wa vijiji nchini kuacha kuji...
32 minutes ago




No comments:
Post a Comment