RAIS DKT. SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUM WA RAIS WA DRC, FÉLIX TSHISEKEDI IKULU DAR - THE HABARII
.com/img/a/
ASAS GROUP
.com/img/a/

Wednesday, 26 March 2025

demo-image

RAIS DKT. SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUM WA RAIS WA DRC, FÉLIX TSHISEKEDI IKULU DAR

 

02%20(4)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo Mhe. Thérèse Kayikwamba Wagner, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025.

0001_e
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi uliowasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo Mhe. Thérèse Kayikwamba Wagner, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025.

Halotel+Mpango+Mzima

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *