Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024. |
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024. |
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024. |
No comments:
Post a Comment