DKT. JAKAYA ASHINDA TUZO YA KIONGOZI WA AMANI NA USALAMA WA MWAKA 2023 - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday, 17 March 2024

DKT. JAKAYA ASHINDA TUZO YA KIONGOZI WA AMANI NA USALAMA WA MWAKA 2023

 

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na tuzo yake kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini Addis Ababa, Ethiopia, 

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akikabidhiwa tuzo yake na Waziri wa Mapato wa Jamhuri ya Ethiopia, Mama Aynalem Nigusie) na Mwenyekiti wa Jarida la Uongozi Afrika, Dk. Ken Giami kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini  Addis Ababa, Ethiopia,

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa na Waziri wa Mapato wa Jamhuri ya Ethiopia, Mama Aynalem Nigusie) Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe. Innocent Shiyo  kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini Addis Ababa, Ethiopia,


No comments:

Post a Comment