RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA SOEKARNO-HATTA, TANGERANG KWA AJILI YA ZIARA YA KITAIFA NCHINI INDONESIA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 23 January 2024

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA SOEKARNO-HATTA, TANGERANG KWA AJILI YA ZIARA YA KITAIFA NCHINI INDONESIA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.

No comments:

Post a Comment