Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimetoa mkono wa pole wa vifaa vya ujenzi kwa waathirika wa mvua ya mafuriko iliyoambatana na maporomoko ya tope Wilayani Hanang Mkoani Manyara.
Makamu wa Rais wa
Chama TANNA JANE BARARUKULULIZA amesema vifaa vya ujenzi
vilivyokabidhiwa ni pamoja na mifuko 120 ya saruji, bati vyenye
thamani ya Tsh. Milioni sita,laki mbi na elfu themanini(Tsh. 6,280,000) huku
wakitembelea na kutoa mkono wa pole pia kwa Muuguzi Pendo Sephania aliyepoteza
ndugu zake watano .

No comments:
Post a Comment