| Sehemu ya menejimenti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la Ofisi la Wizara hiyo, eneo la Mtumba, jijini Dodoma. |
| Sehemu ya menejimenti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakitoka kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la Ofisi la Wizara hiyo, eneo la Mtumba, jijini Dodoma. |
| Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi eneo la Mtumba, jijini Dodoma. Jengo hilo limefikia asilimia 68. |
.jpg)

No comments:
Post a Comment