RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA SOKO KUU LA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday 2 June 2021

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA SOKO KUU LA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na wafanyabiashara mbalimbali katika Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Sokoni hapo leo tarehe 1 June, 2021. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Sokoni hapo ili kutatua baadhi ya kero na kutoa maagizo kwa wahusika wakuu wanaosimamia Soko hilo. PICHA NA IKULU


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Sokoni hapo ili kutatua baadhi ya kero na kutoa maagizo kwa wahusika wakuu wanaosimamia Soko hilo. PICHA NA IKULU.


No comments:

Post a Comment