Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akigonga glass na wadau wa Kampuni ya magari aina ya Scania wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya kampuni hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. |
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akizungumza na wadau wa magari aina ya Scania wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya kampuni hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. |
No comments:
Post a Comment