MKUTANO WA KILIMO-DAKAR SENEGAL - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 26 January 2023

MKUTANO WA KILIMO-DAKAR SENEGAL

 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa Masuala ya Kilimo na Chakula ambao uliwahusisha Wadau wa Makampuni mbalimbali pamoja na Wawekezaji, Dakar nchini Senegal tarehe 25 Januari, 2023. Katika Mkutano huo ambao Tanzania ilikuwa Mwenyeji, Mhe. Rais Samia aliambatana na baadhi ya Mawaziri pamoja na wakuu wa Taasisi Mbalimbali.

No comments:

Post a Comment