RAIS SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA BABATI - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 22 November 2022

RAIS SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA BABATI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Babati Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.

Vihenge na Maghala ya Kisasa ambayo yamezinduliwa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Babati Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.

Vihenge na Maghala ya Kisasa ambayo yamezinduliwa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Babati Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere akimtambulisha Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Bonga Babati Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.

Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Babati wakiwa kwenye ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.

Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Babati wakiwa kwenye ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Mkoani Manyara tarehe 22 Novemba, 2022.


No comments:

Post a Comment