BABA HALISI katika moja ya Ibada zake kwa ajili ya utukufu wa chanzo halisi. |
KUNA
maajabu ambayo wataalam wa maendeleo wanayaita Phenomenon! kila
Bara,
Kaskazini ni matajiri na Kusini ni maskini. Kwa mujibu wa Kitabu cha Mwanzo 27:27-40, Baraka huwa ni Moja;
Shamba ni Moja; Bustanini Moja; Moyo ni mmoja na zaidi ya yote, CHANZO CHA MEMA
NA MAZURI, yaani MUNGU BABA ni Mmoja.
Wote
tukifahamu hayo, ugomvi na vita kila mahali itakuwa hakuna.
Katika
Mwanzo 25:24-26, Yakobona Esau
walizaliwa wakiwa mapacha kutoka katika Tumbo Moja. Yakobo alikuwa wa pili
kuzaliwa, ni Mweusi alikuja Kusini. Esau alikuwa wa kwanza
kuzaliwa,aliendaKaskazini.
Yakobo,
aliyekujaKusini, mahaliambapokatikakila Bara nimaskini, ndiyealiyekuwawa kwanza
Kubarikiwa
kwakupewa yaliyo manono ya nchi, mazuri ya umande wa Mbingu, na kwamba kila atakaye
mlaani alaaniwe nakila atakaye mbariki a barikiwe. Esau, alipewa Baraka kama hizo
alizopewa Yakobo, lakiniyeyealiambiwaatazipatakwaupanga! Yote haya nikwa mujibu waMwa.27:27-40.
Esau,
baada ya kuona amepewa Baraka lakini kwa Upanga, alitafuta mbadala wakupata
Baraka hizo kutoka kwenye shamba lilelile, bustani ileile, moyo ule ule.
Mbadala
huo wakupata baraka Tunausoma katika Matendoya
Mitume 20:35.Esau aliposoma katika Matendo
ya Mitume 20:35, alikuta imeandikwa kuwa “ni Heri kutoa kuliko kupokea”. Hivyo, Esau akajua Heri ni sawasawa
na ile Baraka ambayo hakuipata moja kwa moja.
Aliamua kujikita katika kutoa misaada na mikopo
ndio ukawa upanga wake.
Yakobo,
kwakuwa alipewa kilakitu alijikuta nimvivu wakutoa. Katika kitabu cha Warumi 2:9-10, Esau alikuta mahali palipoandikwa
kuwa, anayependa kutoa anapata Amani, Heshima na Utukufu. Asiyependa kutoa atapata
dhiki na shida.
Esau,
aliposoma tena katika Wafilipi 4:16-19, akagundua
kuwa Yakobo amekataa kumtunza Mtume Paulo, ndipo Esau akaamua kumtunza Paulo.
Mtume
Paulo katikaWafilipi 4:19 akamtamkia
Esau kuwa apate kila anachokihitaji kwa kadri yautajiri wa MUNGU wa Majira Saba.
Ndicho
kilichotokea kwa Esau. Kwa kuwa Yakobo hakutenda mema, yeye akapata dhiki na s hida
katika majira hizo saba.
MUNGU
BABA ambaye ni CHANZO HALISI CHA MEMA NA MAZURI amekuja, kwa mujibu wa 1Wakorintho 15:24-28,
Amekuta
watoto wawili ambao ni Yakobo na Esau, mmoja anapenda kutoa na amepata Amani,
heshima na utukufu, ila kwa mujibu waMwanzo
27:27-40 hakupata Baraka.
Yakobo,
yeye alibarikiwa ila hapendi kutoa, matokeo yake akajikuta amepata dhiki na shida!
Yakobo ndiye amepata upendeleo wakumpokea MUNGU BABA ambaye ni CHANZO CHA MEMA
NA MAZURI, ila hapendi kutoa na ana dhiki na shida.
Esau ambaye hakubarikiwa kwamujibu waMwanzo 27:27-40, MUNGU BABA hakushukia kwake.
Kwa mujibu waWaefeso 4:4-6, huyu
MUNGU BABA aliye CHANZO CHA MEMA NA MAZURI anawapenda Yakobo na Esau. Kitu gani
afanye?
Jibu
sahihi ni kugeuza misaada na mikopo kutoka kwa Esau iwe shukrani kwa MUNGU
BABA, ili Yakobo na Esau wote sasa wapate Baraka kutoka kwa Aliye Chanzo cha
Baraka.
Yakobo
(Kusini) anaye CHANZO CHA MEMA NA MAZURI ila hapendi kutoa. Esau (Kaskazini)
hana CHANZO CHA MEMA NA MAZURI ila anapenda kutoa. Ili MUNGU BABA Aliye CHANZO
CHA MEMA NA MAZURI, ahudumie wote (Efeso
4:4-6), ili kuwa nilazima amalize ugomvi na vita kati ya hawa wawili kwakugeuza
misaada na mikopo kutoka kwa Esau kuwa shukrani kwake. Sasa Yakobo (Kusini)
hadaiwi tena maana ule upanga aliopewa Esau haupo.
Wote
wawili wanapata kutoka kwa MUNGU BABA–CHANZO HALISI.
Hili
halikwepeki maana hata Musa alioa Afrika (Hesabu
12:2-8). Yesu baada yakuzaliwa, alihifadhiwa Afrika ili apone(Mathayo 2:1-15). Yesu pia wakati wakubebeshwa
msalaba alisaidiwa na Afrika(Marko 15:21 na Luka 23:26). Lakini
pia
Majira
sahihi imerejeshwa na aliyetoka Mashariki Halisi (Tanzania –Afrika) katika Isaya 41:2,4. Kwa kuwa huwezi kufanya chochote
bila Majira, basi Esau na Yakobo wote wanamhitaji huyu MUNGU BABA aliye CHANZO
HALISI CHA MEMA NA MAZURI.
Ndiyo
maana ilikuwa nilazima kusawazisha ili Esau na Yakobo wasigombane tena. Hii inamaana
kuwa misaada na mikopo ambayo Afrika iliwahi kupata kwa Esau haidaiwi tena.
Heri uliyebarikiwak uliko wote.
Mwaandishi
wa Makala haya ni Mkuu wa Vituo vyote vya Kanisa Halisi la MUNGU BABA lenye
makao makuu yake Tegeta Dar es Salaam Tanzania, BABA HALISI.
No comments:
Post a Comment