RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA PAMOJA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA MFUKO WA IDADI YA WATU (UNFPA) IKULU JIJINI DAR - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Wednesday, 12 May 2021

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA PAMOJA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA MFUKO WA IDADI YA WATU (UNFPA) IKULU JIJINI DAR

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mfuko wa Idadi ya Watu (UNFPA) Dkt. Natalia Kanem mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Mei, 2021. PICHA NA IKULU.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika James Duddridge mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika James Duddridge Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika James Duddridge mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Mei, 2021.




No comments:

Post a Comment