![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kufungua Daraja la Juu katika Makutano ya Barabara za Ubungo (Kijazi Interchange) Ubungo jijini Dar es Salaam leo, wengine ni viongozi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, TANROADS na Mkoa wa Dar es Salaam. |
![]() |
Muonekano wa Daraja la
Juu la Ubungo Interchange ambapo kwasasa linaitwa Kijazi Interchange mara baada ya kuzinduliwa
jijini Dar es Salaam. |
![]() |
Muonekano wa Daraja la
Juu la Ubungo Interchange ambapo kwasasa linaitwa Kijazi Interchange mara baada ya kuzinduliwa
jijini Dar es Salaam. |
Katibu Mkuu Wizara ya
Ujenzi na Uchukuzi (sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga akiteta jambo na
Naibu Waziri, Godfrey Kasekenya katika hafla ya uzinduzi wa Daraja la Juu la
Ubungo Interchange sasa Kijazi
Interchange. |
Naibu Waziri wa Wizara
ya Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Godfrey Kasekenya, Katibu Mkuu (sekta ya Ujenzi)
Arch. Elius Mwakalinga na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini
(TANROADS), Eng. Patrick Mfugale wakisalimiana walipokutana katika hafla ya
uzinduzi wa Daraja la Juu la Ubungo Interchange sasa Kijazi Interchange. |
Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Bw. Abubakari Kunenge (kulia) akisisitiza jambo kwa viongozi wa Wizara
ya Ujenzi na Uchukuzi katika hafla ya uzinduzi wa Daraja la Juu la Ubungo Interchange
sasa Kijazi Interchange. |
Wafanyakazi wa Wakala wa
Barabara nchini (TANROADS), wakifurahia jambo kabla ya uzinduzi wa Daraja la
Juu la Ubungo Interchange sasa Kijazi
Interchange. |
Muonekano wa Daraja la
Juu na barabara ya chini Ubungo Interchange ambapo kwasasa linaitwa Kijazi Interchange. |
Wafanyakazi wa Wakala wa
Barabara nchini (TANROADS), wakifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa uzinduzi wa Daraja la
Juu la Ubungo Interchange sasa Kijazi
Interchange. |
Baadhi ya Watendaji wa
Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi wakifuatilia hotuba ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
wakati wa uzinduzi wa Daraja la Juu la Ubungo Interchange sasa Kijazi Interchange. |




No comments:
Post a Comment