| Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Msafiri Mbibo akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Juma Mfaume, alipokuwa akitoa elimu kuhusu bajeti ya Serikali na namna Serikali inavyosimamia mchakato wa uandaaji na utekelezaji wa bajeti. Katikati ni Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka hiyo Bw. Richard Kayombo. |
NMB Yapata Sh Bilioni 468 Kuchochea Mikopo kwa Wakulima na Wajasiriamali
-
NMB Yapata Dola Milioni 180 Kuongeza Mikopo kwa SMEs, Kilimo na
Wajasiriamali.
IFC, BII na Norfund Zaipa NMB Ufadhili wa Dola Milioni 180
Dola Mili...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment