Wadau mbalimbali
wakipata elimu ya hali ya hewa walipotembelea banda la TMA katika maonesho ya
biashara yaliyofanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu, Mtwara Tarehe 31
Oktoba - 02 Novemba, 2019.
|
Wadau mbalimbali
wakipata elimu ya hali ya hewa walipotembelea banda la TMA katika maonesho ya
biashara yaliyofanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu, Mtwara Tarehe 31
Oktoba - 02 Novemba, 2019.
|
Wadau mbalimbali
wakipata elimu ya hali ya hewa walipotembelea banda la TMA katika maonesho ya
biashara yaliyofanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu, Mtwara Tarehe 31
Oktoba - 02 Novemba, 2019.
|
TMA ilishiriki katika kongamano la uwekezaji na maonesho ya biashara yaliyofanyika katika viwanja vya chuo cha ualimu, Mtwara. Ushiriki wa TMA katika maonesho hayo ulikuwa ni kutoa elimu kwa wadau mbalimbali walioweza kutembelea katika banda lake lililokuwa katika maonesho hayo, aidha TMA ilitumia njia ya vyombo vya habari kuwafikia wananchi wengi zaidi.
Lengo kuu la Mamlaka lilikuwa ni kuwaelimisha wananchi na wawekezaji jinsi ya kuboresha uwekezaji nchini kwa Kufanya matumizi sahihi ya taarifa za hali ya hewa.

No comments:
Post a Comment