RAIS DK MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA WILAYANI NKASI, RUKWA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 8 October 2019

RAIS DK MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA WILAYANI NKASI, RUKWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi kijiji cha Chala wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa akiwa njiani akitokea Sumbawanga leo Oktoba 8, 2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma mango kabla ya kuikata utepe kuzindua barabara ya Sumbawanga-Kanazi mkoani Rukwa leo Oktoba 8, 2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia wananchi wakijiandikisha katika daftari la mpinga kura eneo la Nkomolo Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa Oktoba 8, 2019. Akitoa maelezo kushoto ni Katibu Tawala Msaidizi wilaya ya Nkasi Bw. Albinus Mugonya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Mama Felista Mkombo baada ya kuamuru ofisi za Mkjuu wa Wilaya na Mkuu wa Polisi Wilayani Nkasi kumpa shillingi milioni 15 kama fidia ya kuibiwa ng'ombe zake 25 Mjini Namanyere wilayani Nkasi. PICHA NA IKULU.

Sehemu ya barabara ya Sumbawanga-Kanazi yenye urefu wa kilometa 75 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli leo Oktoba 8.


No comments:

Post a Comment