WAZIRI MKUU MAJALIWA NA MCHEZAJI EL HADJI DEOUF WA SENEGAL - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 16 April 2019

WAZIRI MKUU MAJALIWA NA MCHEZAJI EL HADJI DEOUF WA SENEGAL

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mchezaji nyota wa zamani wa Senegal El Hadji Deouf, wakati wa mechi ya ufunguzi wa Michuano ya AFCON  U17, kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Aprili 14, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment