TANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday, 7 March 2026

TANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO

 

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akimkabidhi zawadi ya Saa yenye taswira yake, Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes yenye picha yake, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha jijini Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo mengine, wamejadiliana namna ya kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na kidiplomasia, kati ya nchi hizo mbili.

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akimkabidhi zawadi ya baadhi ya bidhaa zinazozalishwa nchini, Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha jijini Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo mengine, wamejadiliana namna ya kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na kidiplomasia, kati ya nchi hizo mbili.

No comments:

Post a Comment