RAIS MHE. DKT. SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI, WAZEE, MAKUNDI MAALUM, MAJIRANI NA MAKUNDI MBALIMBALI, KIZIMKAZI UNGUJA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 17 March 2026

RAIS MHE. DKT. SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI, WAZEE, MAKUNDI MAALUM, MAJIRANI NA MAKUNDI MBALIMBALI, KIZIMKAZI UNGUJA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja kwenye Futari aliyowaandalia, tarehe 16 Machi, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja kwenye Futari aliyowaandalia, tarehe 16 Machi, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja kwenye Futari aliyowaandalia, tarehe 16 Machi, 2026.


Viongozi, Wazee, Makundi Maalum, majirani na wananchi wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika kwenye Futari aliyowaandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 16 Machi, 2026.

No comments:

Post a Comment