KUNA NDOTO NYINGI ZA WANAWAKE TANZANIA, NMB JASIRI IMEZINDULIWA RASMI KUZIFUNGUA…! - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 12 March 2026

KUNA NDOTO NYINGI ZA WANAWAKE TANZANIA, NMB JASIRI IMEZINDULIWA RASMI KUZIFUNGUA…!

 

Mkurugenzi Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benkiy a NMB, Ruth Zaipuna.

Kuna ndoto nyingi za wanawake Tanzania,  na sasa NMB JASIRI imezinduliwa rasmi kuzifungua.

Mkurugenzi Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benkiy a NMB, Ruth Zaipuna, anawakaribisha kwenye Kochi la Jasiri, Kochi la Orange - nafasi ya kuzungumza, kushirikishana elimu ya fedha na kufungua fursa za kukuza biashara.

Karibu JASIRI. Karibu Tuyajenge.

No comments:

Post a Comment