RAIS SAMIA, RAIS WA BURUNDI WAFUNGUA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM, NALA JIJINI DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday, 29 June 2025

RAIS SAMIA, RAIS WA BURUNDI WAFUNGUA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM, NALA JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye mara baada ya kuwasili katika Kiwanda cha mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala Jijini Dodoma tarehe 28 Juni, 2025. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa pamoja na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala Jijini Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa pamoja na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala Jijini Dodoma tarehe 28 Juni, 2025. 

Matukio mbalimbali katika ufunguzi wa Kiwanda cha mbolea cha ITRACOM kilichopo Nala Jijini Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.











 

No comments:

Post a Comment