Kwa upande wake Mkuurgenzi Mtendaji wa SSB, Ali Mukadam amesema wameongeza uwezo wa uzalishaji wa unga wa ngano kwa kiasi kikubwa kutoka tani 15 kwa siku ilipoanzishwa hadi tani 9,000 kwa siku katika shughuli zake kote barani Afrika.

Amesema katika maadhimisho hayo pia wamezindua chapa mpya ya Miaka 50 ya Bakhresa Group na cha chapa mpya ya Kifurushi cha unga wa ngano unaozalishwa na kampuni hiyo.