Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja
na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika
ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia
kabla ya kufungua Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa
Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Joachim Mushi|
Mwenyekiti Tanzania Bloggers Network (TBN) | Mhariri Mkuu wa TheHabarii. | Mail:mushijoa@gmail.com | +255 717 030 060 / +255 756 469 470.













No comments:
Post a Comment