Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja
na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika
ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia
kabla ya kufungua Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa
Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
Shamra
shamra za Mkutano Maalum wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini
Dodoma tarehe 29 Mei,2025.
DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA
UN
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi, Dkt. Asha-Rose Migiro,
kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili
wanaoziwa...
34 minutes ago













No comments:
Post a Comment