MHE. RAIS DKT. SAMIA ATOA TUZO ZA SAMIA KALAMU AWARDS2025 KWA WAANDISHI WA HABARI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 6 May 2025

MHE. RAIS DKT. SAMIA ATOA TUZO ZA SAMIA KALAMU AWARDS2025 KWA WAANDISHI WA HABARI

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mwandishi wa Habari Mbobevu Mariam Hamdani kwenye hafla ya Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 zilizofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam Mwandishi wa Habari Mahiri tarehe 05 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Viongozi, Wadau wa habari pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.

Viongozi, wadau wa Habari pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.

Viongozi, wadau wa Habari pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo pamoja na mfano wa hundi ya shilingi milioni 20 kwa Mwandishi wa Habari Mahiri Ndugu Alfred Lasteck Mushi kutoka BBC Africa kwenye hafla ya Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 zilizofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Samia Kalamu Awards2025 kwa Waandishi wa Habari iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025.



No comments:

Post a Comment