![]() |
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akiwa
na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Italia (SACE), Bi. Alessandra
Ricci, Mjini Rome, ambapo ameishukuru Italia kwa kutoa dhamana ya mkopo wa
kujenga Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha Kwanza na cha pili kuanzia Dar es
Salaam, Morogoro, Dodoma hadi Makutupora mkoani Singida, ambavyo ujenzi wake
umekamilika na treni kuanza kutoa huduma kuanzia Dar es salaam hadi Dodoma. (Picha
na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Rome, Italia) |
No comments:
Post a Comment