RAIS DK. SAMIA AHUDHURIA KATIKA MASHINDANO YA DUNIA YA QUR’AN TUKUFU KWA WANAWAKE DAR ES SALAAM - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 31 August 2024

RAIS DK. SAMIA AHUDHURIA KATIKA MASHINDANO YA DUNIA YA QUR’AN TUKUFU KWA WANAWAKE DAR ES SALAAM

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Washindi watano wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi zawadi washindi wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi zawadi washindi wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi zawadi washindi wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi zawadi washindi wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliyofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Waumini wa Dini ya Kiislam katika mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake yaliofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake tarehe 31 Agosti, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Mashindano ya Dunia ya Qur’an tukufu kwa Wanawake tarehe 31 Agosti, 2024.

No comments:

Post a Comment