RAIS SAMIA AHUDHURIA MAZISHI YA KITAIFA YA ALIYEKUWA RAIS WA TATU WA NAMIBIA MAREHEMU DKT. GEINGOB, JIJINI WINDHOEK - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday, 23 February 2024

RAIS SAMIA AHUDHURIA MAZISHI YA KITAIFA YA ALIYEKUWA RAIS WA TATU WA NAMIBIA MAREHEMU DKT. GEINGOB, JIJINI WINDHOEK

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye shughuli za mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024. Hayati Rais Geingob alifariki dunia tarehe 04 Februari na anatarajiwa kuzikwa tarehe 25 Februari, 2024 katika Makaburi ya Mashujaa ya Heroes’ Acre Jijini Windhoek

Wananchi wa Namibia wakiwa kwenye shughuli za mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

Wananchi wa Namibia wakiwa kwenye shughuli za mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

Viongozi mbalimbali wa Jeshi la Namibia wakiwasili na Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

Viongozi mbalimbali wa Jeshi la Namibia wakiwasili na Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

Viongozi mbalimbali wa Jeshi la Namibia wakiwasili na Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

Viongozi mbalimbali wa Jeshi la Namibia wakiwasili na Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob katika uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024.

No comments:

Post a Comment