RAIS SAMIA AHUTUBIA UFUNGUZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MJINI MAGHARIBI - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday, 11 January 2024

RAIS SAMIA AHUTUBIA UFUNGUZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MJINI MAGHARIBI

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi pamoja na wananchi mara baada ya kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi iliyopo Lumumba Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Afya wa Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui wakati wa hafla ya ufunguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi iliyopo Lumumba Zanzibar 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Afya wa Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui wakati akitoka kukagua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi iliyopo Lumumba Zanzibar 

Wananchi mbalimbali waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Zanzibar

Wananchi mbalimbali waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mjini Magharibi Zanzibar

No comments:

Post a Comment