KAMATI YASISITIZA USIMAMIZI MRADI WA BANDARI YA KILWA MASOKO - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 14 November 2023

KAMATI YASISITIZA USIMAMIZI MRADI WA BANDARI YA KILWA MASOKO

 

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile akisisitiza jambo kwa Mwenyekiti na Wajumbe Kamati ya Kudumu ya Miundombinu kuhusu hatua mbalimbali zinazochukuliwa kwenye usimamizi wa ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko, wakati kamati hiyo ilipotembelea bandari hiyo mkoani Lindi mwishoni mwa wiki.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Miundombinu Mhe. Seleman Kakoso akitoa maelekezo kwa Uongozi wa Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA), mara baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko, Mkoani Lindi, mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment