RAIS SAMIA AZINDUA MITAMBO YA UCHORONGAJI KWA WACHIMBAJI WADOGO NA MITAMBO YA STAMICO, DODOMA - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 22 October 2023

RAIS SAMIA AZINDUA MITAMBO YA UCHORONGAJI KWA WACHIMBAJI WADOGO NA MITAMBO YA STAMICO, DODOMA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya kupasua na kusagia mawe crasher kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mfano wa Ufunguo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse kwa ajili ya kuwakabidhi Wachimbaji wadogo Mitambo ya Uchorongaji kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo pamoja na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde kuhusu Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo pamoja na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoka kukagua Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya Wachimbaji wadogo na Mitambo ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwenye hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2023.

No comments:

Post a Comment