RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO, LINDI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday 19 September 2023

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO, LINDI

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakati akielezea mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Wananchi mbalimbali wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwasili katika eneo la Kilwa Masoko ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kuhusu vifaa mbalimbali vya Kisasa vya Uvuvi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kuhusu vifaa mbalimbali vya Kisasa vya Uvuvi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kuhusu vifaa mbalimbali vya Kisasa vya Uvuvi mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kuhusiana na Boti za Kisasa za Uvuvi mara baada ya kuzindua ugawaji wa Boti hizo, Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega kuhusiana na Boti za Kisasa za Uvuvi mara baada ya kuzindua ugawaji wa Boti hizo, Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack, Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuzindua ugawaji wa Boti za Uvuvi 34 za mkopo nafuu mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi, Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega pamoja na viongozi wengine wakati akiweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

No comments:

Post a Comment