CCM NA SAFU MPYA YA KAMATI KUU NA SEKRETARIETI 2023 - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Saturday 14 January 2023

CCM NA SAFU MPYA YA KAMATI KUU NA SEKRETARIETI 2023

 

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mpya, Bi. Sophia Mjema akichukua nafasi ya Shaka Hamdu.


Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa

Daniel Chongolo - Katibu Mkuu

Ana Mringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara

Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

Said Mohamed Dimwa

Ndugu Sophia Mjema

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi

Dkt. Frank Haule

Katibu wa Uchumi na Fedha

Mbarouk Nassor Mbarouk

Mkuu wa Idara ya Kimataifa 

Issa Haji Gavu

Idara ya Organaizeisheni


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha kwanza cha Kamati Kuu Mpya ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.


No comments:

Post a Comment