PROF. MBARAWA APOKEA MABEHEWA 14 YA SGR - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday 25 November 2022

PROF. MBARAWA APOKEA MABEHEWA 14 YA SGR

 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye hafla ya kupokea mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR) ya Shirika la Reli Tanzania (TRC).

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa pamoja na menejimenti ya TRC wakikata utepe kuashiria kupokea mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR) bandarini leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wataalam wa TRC wakifurahiya jambo ndani ya behewa jipya litakalotumika katika Reli ya Kisasa (SGR).

Muonekano wa mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR) mara baada ya kupokelewa jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akitafakari jambo kwa furaha ndani ya behewa mara baada ya kupokea mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR) bandarini leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Prof. John Kondoro, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania- TRC, Bw. Masanja Kadogosa.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Prof. John Kondoro, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania- TRC, Bw. Masanja Kadogosa.

Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Bw. Masanja Kadogosa akifafanua jambo wakati wa hafla ya kupokea mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR).


Balozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Bw. Kim Sun Pyo akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kupokea mabehewa 14 yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR).

No comments:

Post a Comment