Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi akizungumza kwenye hafla ya ufungaji Kongamano la Wadau wa Hali ya Hewa lililoandaliwa na Shirika la Setelaiti za Hali ya Hewa Ulaya (EUMETSAT). |
Afisa Uhusiano Kimataifa wa Shirika la Setelaiti za Hali ya Hewa Ulaya (EUMETSAT), Bw. Vincent Gabaglio (kushoto) akizungumza na wadau wa hali ya hewa kwenye hafla ya ufungaji Kongamano la EUMETSAT. |
Washiriki wa Kongamano la Wadau wa Hali ya Hewa lililoandaliwa na Shirika la Setelaiti za Hali ya Hewa Ulaya (EUMETSAT) na kufanyika nchini Tanzania wakiwa kwenye hafla ya ufungaji Kongamano. |
No comments:
Post a Comment