KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI DARAJA LA SELANDER DAR - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday 20 November 2020

KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI DARAJA LA SELANDER DAR

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga akipata ufafanuzi kutoka kwa msimamizi wa mradi wa ujenzi wa Daraja la Selander, Lee Suk Joe alipokagua maendeleo ya ujenzi huo jijini Dar es Salaam.

 

Muonekano wa moja ya nguzo za daraja la Selander la jijini Dar es salaam, ambalo ujenzi wake unaendelea.


Muonekano wa moja ya nguzo za Daraja la Selander la jijini Dar es salaam, ambalo ujenzi wake unaendelea. Kushoto ni msafara wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya Ujenzi),  Arch. Elius Mwakalinga ukikagua ujenzi huo.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Rogathe Hussein Mativila (kulia) na Mkurugenzi wa Miradi wa TANROADS, Eng. Chrispianus Ako (kushoto) alipokagua daraja la Selander jijini Dar es Salaam. 


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya Ujenzi Arch. Elius Mwakalinga akisisitiza jambo kwa Mhandisi wa Madaraja Eng. Lulu Dunia alipokagua daraja la Selander jijini Dar es Salaam. 


Meneja wa Wakala wa Barabara, Tanroads Mkoa wa Dar es Salaam Eng. Julius Ngusa (kulia) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga alipokagua daraja la Selander jijini Dar es Salaam. 


Mhandisi wa Madaraja Eng. Lulu Dunia, akisisitiza jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga alipokagua daraja la Selander jijini Dar es Salaam. 


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Rogathe Hussein Mativila (kulia) na Mkurugenzi wa Miradi wa TANROADS, Eng. Chrispianus Ako (kushoto) alipokagua daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam.

 Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
















No comments:

Post a Comment