MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI MOROGORO, YANG’ARA…! - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Friday 7 August 2020

MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI MOROGORO, YANG’ARA…!

Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso (katikati) akitembelea Mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mhe. Godwin Gondwe alieambatana naye pampja na ofisa kutoka Banda la Halmashauri ya Rufiji.
Muonekano picha kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Vitalu mbalimbali vya mazao ya mbogamboga ndani ya Banda la Halmashauri ya Rufiji kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

 

Zana za kisasa za kumsaidia mkulima zikioneshwa.
Tume ya Uchaguzi nao wapo kwenye maonesho...



Mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Banda la SIDO kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Banda la Jeshi la Kujenga Taifa wao wamemwandalia mkulima Jokofu rahisi na la asili kwa ajili ya kuhifadhi mazao ya mbogamboga kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Banda la JKT;... Jokofu rahisi na la asili kwa ajili ya kuhifadhi mazao ya mbogamboga kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Injinia Stella Manyanya (kushoto) akisalimiana na viongozi na wenyeji wake katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro alipotembelea mabanda. 

Zana za kilimo ndani ya Banda la Benki ya NMB, kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. NMB wanamwezesha mkulima kwa mikopo mbalimbali...!

Zana za kilimo ndani ya Banda la Benki ya NMB, kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. NMB wanamwezesha mkulima kwa mikopo mbalimbali...!

Simba wa maonesho katika moja ya banda la kuonesha wanyama pori

Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso (katikati) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mhe. Godwin Gondwe kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro.

Mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 


Mabanda mbalimbali kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro. 



No comments:

Post a Comment