RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA KANAZI-KIZI-KIBAONI KM 76.6, DARAJA LA KAVUU MITA 85.3 PIA AHUTUBIA WANANCHI WA KIBAONI MKOANI KATAVI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Thursday 10 October 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA KANAZI-KIZI-KIBAONI KM 76.6, DARAJA LA KAVUU MITA 85.3 PIA AHUTUBIA WANANCHI WA KIBAONI MKOANI KATAVI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifungua barabara ya Kanazi-Kizi-Kibaoni km 76.6 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami pamoja na Daraja la Kavuu M 85.3 katika sherehe zilizofanyika katika eneo la Kibaoni mkoani Katavi.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifungua barabara ya Kanazi-Kizi-Kibaoni km 76.6 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami pamoja na Daraja la Kavuu M 85.3 katika sherehe zilizofanyika katika eneo la Kibaoni mkoani Katavi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Kibaoni mkoani Katavi mara baada ya kuwasili wakati akitokea wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akichagua nyama ya porini mara baada ya kujumuika na wadau mbalimbali, Wafanyakazi wa TANAPA, Askari wa Wanyama Pori, Wabunge, Mawaziri katika mbuga ya wanyama ya Katavi wakati akielekea Mpanda mkoani Katavi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia wanyama aina ya viboko katika hifadhi ya Taifa ya Katavi  mara baada ya kusimama wakati akielekea Mpanda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Nsimbo mkoani Katavi mara baada ya kuwasili akitokea Kibaoni. PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment