![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Njia Panda Wilayani Chato mara baada ya kuwasili akitokea jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoa Geita. PICHA NA IKULU.
|
No comments:
Post a Comment