MAJALIWA AKUTANA NA MAWAZIRI, MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WA WIZARA ZA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI NA WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI - THE HABARII

ASAS GROUP

Habari Mpya


Sunday 23 December 2018

MAJALIWA AKUTANA NA MAWAZIRI, MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WA WIZARA ZA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI NA WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Kazi alichokiitisha Ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam, Desemba 22, 2018.  Kikao hicho kiliwahusisha Mawaziri, Makatibu Wakuu na Watendaji kutoka Wizara za  Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji pamoja na baadhi ya Taasisi zilizo chini ya Wizara hizo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu),


No comments:

Post a Comment