SIMBA, TAASISI MO DEWJI WASAIDIA KITUO CHA WATOTO YATIMA - THE HABARII

THE HABARII

HABARI | MATUKIO | MICHEZO.


ASAS GROUP

Habari Mpya


Tuesday, 7 August 2018

SIMBA, TAASISI MO DEWJI WASAIDIA KITUO CHA WATOTO YATIMA

Baadhi ya wachezaji wa Klabu ya Simba na Taasisi ya Mo Dewji wakitoa sehemu ya msaada kwa kituo cha kutunza watoto yatima wenye ulemavu cha Watoto Kwanza kilichopo Kawe jijini Dar es Salaam.

Taasisi ya Mo Dewji kwa kushirikiana na klabu ya Simba wametoa msaada wa viti vya walemavu, vyakula, vinywaji na sabuni kwa kituo cha kutunza watoto yatima wenye ulemavu cha Watoto Kwanza kilichopo Kawe jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wachezaji wa Klabu ya Simba na Taasisi ya Mo Dewji wakitoa sehemu ya msaada kwa kituo cha kutunza watoto yatima wenye ulemavu cha Watoto Kwanza kilichopo Kawe jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wachezaji wa Klabu ya Simba na Taasisi ya Mo Dewji wakitoa sehemu ya msaada kwa kituo cha kutunza watoto yatima wenye ulemavu cha Watoto Kwanza kilichopo Kawe jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment